Friday, July 11, 2014

Posted by Sichila Fashion........2014

Mchana wa leo kulikuwa na tukio la uzinduzi wa ,ujenzi wa
 uwanja mpya wa ndege,tukio lililofanyika jirani 
na uwanja wa sasa wa Mwalimu
 Nyerere,tukio lilisimamiwa na mheshimiwa 

raisi ,Jakaya Kikwete
 pamoja na viongozi mbali mbali wa nchi,nilialikwa kutoa
 burudani na hivi
 ndivyo ilivyokuwa katika picha.